|
WAZIRI wa Maji na Maendeleo ya Mifugo,Edward Lowassa amewataka wananchi wa jimbo lake la Monduli kujiepusha na siasa za vurugu za wapinzani balada yake wawaaibishe kwa kupiga kura nyingi kwa CCM ili ishinde nafasi ya Urais,Ubunge na udiwani katika jimbo la Monduli.
|