|
KAMATI YA KURATIBU KAMPENI ZA CCM KITAIFA
Kwa mujibu wa ibara ndogo ya 4 ya ibara ya 10 ya Katiba ya CCM (Toleo la Mei, 2005), moja kati ya kazi za Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM ni kusimamia Kampeni za Uchaguzi za Chama.
Kwa kuzingatia kuwa Kamati Kuu hufanya kazi zake kwa vikao ambavyo huchukua muda kufanyika, imeamua kuunda Kamati ya Kuratibu Kampeni za CCM Kitaifa ambayo itafanya kazi za siku kwa siku kwa niaba ya Kamati Kuu kwa kipindi chote cha Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005.
Katika kikao chake cha tarehe 29 Juni, 2005, Kamati Kuu iliwateua wafuatao kuwa wajumbe wa Kamati hiyo:- | 1 | Ndugu Philip J. Mangula | Mwenyekiti | | 2 | Brig. Gen (Mst.) Hassan Ngwilizi | Mjumbe | | 3 | Ndugu Saleh Ramadhan Ferouz | Mjumbe | | 4 | Ndugu Salome Joseph Mbatia | Mjumbe | | 5 | Ndugu Jackson Msome | Mjumbe | | 6 | Ndugu Omar Ramadhan Mapuri | Mjumbe | | 7 | Ndugu Kingunge NgombaleMwiru | Mjumbe | | 8 | Ndugu Abdulrahman Kinana | Mjumbe | | 9 | Ndugu Dr. Emmanuel Nchimbi | Mjumbe | | 10 | Ndugu Samia Suluhu Hassan | Mjumbe | | 11 | Ndugu Anna Abdallah | Mjumbe | | 12 | Ndugu Ali Ameir Mohamed | Mjumbe | | 13 | Ndugu Rostam Aziz | Mjumbe | | 14 | Ndugu Mansoor Yusuf Himid | Mjumbe | | 15 | Ndugu Mohamed Aboud Mohamed | Mjumbe | | 16 | Ndugu Edward Lowasa | Mjumbe | | 17 | Ndugu Peter Kisumo | Mjumbe | | 18 | Ndugu Ferdinand Ruhinda | Mjumbe | | 19 | Ndugu Mohamed Abdulaziz | Mjumbe | | 20 | Ndugu Leila Nassor Khamis | Mjumbe | | 21 | Ndugu Yusuf Mushi | Mjumbe | | 22 | Ndugu Sam Mapande | Mjumbe |
|