Articles by this Author
(Page 1 of 2) « Back |
1 |
2 |
Next »
»
Hotuba ya Mama Kikwete kwenye maonyesho ya wasindikaji Mnazi mmoja
Awali ya yote napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru kwa kunipa heshima ya kuwa mgeni rasmi katika kufungua maonyesho haya ya usindikaji vyakula. Pili nawashukuru wanachama wa TAFOPA kwa kuandaa maonyesho haya muhimu.
»
Taarifa ya Ziara ya Rais Lindi - Kilwa
Serikali ya Awamu ya Nne inaendelea kutekeleza ahadi zake iliyozitoa wakati wa kampeni za Urais kama ilivyoainishwa na Ilani ya Chama Cha Mapinduzi.
»
Kikwete hakumshambulia Banduka
Katika gazeti lako la leo 4/8/2007, ukurasa wa mbele kuna habari yenye kichwa Kikwete amshambulia Banduka.
»
Hotuba Ya Rais Kwenye Kilele Cha Sikukuu Ya Mei Mosi 2007
Hotuba Ya Rais Wa Jamhuri
Ya Muungano Wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Kwenye Kilele Cha
Sikukuu Ya Wafanyakazi Duniani, Mwanza, Mei Mosi 2007
»
Mama Salma Kikwete awapongeza wakinamama
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete amesema uteuzi wa Dkt Asha- Rose Migiro na Balozi Liberata Mulamula kushika nyadhifa za juu katika nyanja za kidiplomasia, kuwe changamoto kwa wanawake wengine hapa nchini kufanya vema katika shughuli zao mbalimbali
»
Address By H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, At The Third East African Petroleum Conference
Address By H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, The President Of The United Republic Of Tanzania, At The Third East African Petroleum Conference, Arusha,
»
Mwamko wa Akina Mama Umepunguza vifo vya watoto - JK
Mwamko mkubwa ambao unaonyeshwa na wanawake wa kuwapeleka watoto wao wachanga kupata chanjo na huduma nyingine muhimu za afya,ni moja ya sababu kubwa ambazo zimechangia katika kupungua kwa idadi ya vifo vya watoto chini ya miaka mitano.
»
Mazungumzo Kati ya CCM na CUF yataleta Utulivu wa Kisiasa - JK
Rais Jakaya Kikwete amesema, anayo matumaini makubwa kuhusu mchakato wa mazungumzo yanayoendelea kati ya Makatibu Wakuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Wananchi (CUF) kuwa yataleta utulivu wa kisiasa nchini Tanzania.
»
Hotuba Ya Mheshimiwa Mama Salma Kikwete - UNICEF
HOTUBA YA MHESHIMIWA MAMA SALMA KIKWETE, MWENYEKITI WA TAASISI YA WANAWAKE NA MAENDELEO KATIKA UZINDUZI WA RIPOTI YA HALI YA WATOTO DUNIANI KWA MWAKA 2007 UNICEF, DAR ES SALAAM TAREHE 12 DESEMBA, 2006
»
Rais aenda DRC kuapishwa kwa kabila
Rais Jakaya Kikwete kesho Jumanne, tarehe Desemba 05, 2006, anaondoka nchini kwenda Jamhuri ya Kidemorasia ya Kongo (DRC) ambako ataungana na viongozi wengine wapatao 14 katika sherehe za kuapishwa kwa Rais mteule wa nchini hiyo, Joseph Kabila Kabanga.
(Page 1 of 2) « Back |
1 |
2 |
Next »