Guestbook
Tanzania, is a country on the east coast of east Africa.
JakayaKikwete.com
 »  Home  »  Authors  »  Irene K. Bwire
Irene K. Bwire
Articles by this Author
(Page 1 of 11)   « Back | 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | Next »
» Serikali Yalipa Wakandarasi Bilioni 13 - Lowassa
By Irene K. Bwire | Published 12/20/2007 | Habari Mpya | Unrated  printer version
HTML clipboard

WAZIRI MKUU Edward Lowassa amesema Serikali imetoa jumla ya sh. bilioni 13 ili kuwalipa wakandarasi wote nchini ambao walikuwa na madai kwa vipindi mbalimbali.


» Serikali Kumuenzi Losurutia - Lowassa
By Irene K. Bwire | Published 12/19/2007 | Habari Mpya | Unrated  printer version
SERIKALI itayaendeleza mazuri yote yaliyonzishwa na aliyekuwa mbunge wa Kiteto, Benedict Losurutia ili kumuenzi mbunge huyo ambaye wakati wa uhai wake alipania kuwaendeleza wananchi wa  Kiteto.

» Watanzania Wamkuna Makamu wa Rais wa Cuba
By Irene K. Bwire | Published 12/17/2007 | Habari Mpya | Unrated  printer version
MAKAMU WA RAIS wa Cuba, Bw. Esteban Lazo Hernandez amesema jambo kubwa ambalo limemgusa na anaondoka nalo kutoka Tanzania ni jitihada ya Watanzania kupambana na maisha.

» Mama Lowassa azindua albamu, achangisha sh. milioni 14.9/-
By Irene K. Bwire | Published 12/16/2007 | Habari Mpya | Unrated  printer version
MKE wa Waziri Mkuu, Mama Regina Lowassa leo (Jumapili, Desemba 16, 2007) amezindua albamu ya nyimbo za dini na kuchangisha sh. milioni 14.9 katika mnada wa kanda na CD za kwaya ya Mt. Don Bosco.

» Mama Lowassa ataka wahitimu kuacha uvivu
By Irene K. Bwire | Published 12/8/2007 | Habari Mpya | Unrated  printer version
MKE wa Waziri Mkuu, Mama Regina Lowassa amewataka wahitimu nchini kuacha uvivu na kuwa wabunifu kama wanataka kuwa na maisha mazuri.

» Lowassa Ataka Hshauri Ziandae Mipango Endelevu
By Irene K. Bwire | Published 11/27/2007 | Habari Mpya | Rating:  printer version
HTML clipboardWAZIRI MKUU Edward Lowassa amezitaka Halmashauri zote nchini kuandaa mipango yao ya maendeleo kwa kutumia mipango jamii inayotokana na mchakato wa Mfumo wa Fursa na Vikwazo kwa Maendeleo ili iwe endelevu.

» Mapato Ya TRA Tanga Yaongezeka Kwa Asilimia 205
By Irene K. Bwire | Published 11/27/2007 | Habari Mpya | Rating:  printer version
HTML clipboardMAPATO ya Serikali Kuu yanayokusanywa na Mamlaka ya Mapato (TRA) mkoani Tanga yameongezeka kwa asilimia 205 tangu kufungwa kwa mita za kufunga mafuta yanayoingia bandarini (Flowmeter) mwaka 2006.

» Sitakuwa Na Msalie Mtume - Lowassa
By Irene K. Bwire | Published 11/22/2007 | Habari Mpya | Unrated  printer version
HTML clipboardWAZIRI MKUU Edward Lowassa ameonya kuwa hatakuwa na msalie mtume na kiongozi ambaye atashindwa kusimamia ujenzi wa madarasa ili yakamilike mapema na kuweza kuchukua wanafunzi wote waliofaulu ifikao Januari mwakani.

» Serikali kusambaza mpango wa RFSP ktk mikoa mingine
By Irene K. Bwire | Published 10/4/2007 | Habari Mpya | Rating:  printer version
SERIKALI imesema inaangalia uwezekano wa kusambaza shughuli za Mpango wa Huduma za Kifedha Vijijini (Rural Financial Services Programme) katika mikoa mingine ili kuwawezesha Watanzania wengi zaidi kujiongezea kipato kwa kuweka akiba, kupata mikopo na kuitumia katika shughuli za kuichumi.

» Lowassa asema ili kuwaendeleza wafugaji tanzania itakuwa na viwanda 10 vya kusindika nyama
By Irene K. Bwire | Published 10/4/2007 | Habari Mpya | Rating:  printer version
WAZIRI Mkuu Edward Lowassa amesema Tanzania inatarajia kuwa na viwanda kumi vya kusindika nyama nchini katika miaka mitatu ijayo ili kuinua kipato cha wafugaji.

(Page 1 of 11)   « Back | 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | Next »