JakayaKikwete.com
Guestbook
Tanzania, is a country on the east coast of east Africa.
JakayaKikwete.com
 »  Home  »  Habari Mpya
Habari Mpya


(Page 1 of 68)   « Back | 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | Next »
» Serikali Yalipa Wakandarasi Bilioni 13 - Lowassa
By Irene K. Bwire | Published 12/20/2007 | Habari Mpya | Rating:
HTML clipboard

WAZIRI MKUU Edward Lowassa amesema Serikali imetoa jumla ya sh. bilioni 13 ili kuwalipa wakandarasi wote nchini ambao walikuwa na madai kwa vipindi mbalimbali.

» Serikali Kumuenzi Losurutia - Lowassa
By Irene K. Bwire | Published 12/19/2007 | Habari Mpya | Rating:
SERIKALI itayaendeleza mazuri yote yaliyonzishwa na aliyekuwa mbunge wa Kiteto, Benedict Losurutia ili kumuenzi mbunge huyo ambaye wakati wa uhai wake alipania kuwaendeleza wananchi wa  Kiteto.
» Watanzania Wamkuna Makamu wa Rais wa Cuba
By Irene K. Bwire | Published 12/17/2007 | Habari Mpya | Rating:
MAKAMU WA RAIS wa Cuba, Bw. Esteban Lazo Hernandez amesema jambo kubwa ambalo limemgusa na anaondoka nalo kutoka Tanzania ni jitihada ya Watanzania kupambana na maisha.
» Mama Lowassa azindua albamu, achangisha sh. milioni 14.9/-
By Irene K. Bwire | Published 12/16/2007 | Habari Mpya | Rating:
MKE wa Waziri Mkuu, Mama Regina Lowassa leo (Jumapili, Desemba 16, 2007) amezindua albamu ya nyimbo za dini na kuchangisha sh. milioni 14.9 katika mnada wa kanda na CD za kwaya ya Mt. Don Bosco.
» Mama Lowassa ataka wahitimu kuacha uvivu
By Irene K. Bwire | Published 12/8/2007 | Habari Mpya | Rating:
MKE wa Waziri Mkuu, Mama Regina Lowassa amewataka wahitimu nchini kuacha uvivu na kuwa wabunifu kama wanataka kuwa na maisha mazuri.
» Serikali Kumbana Mkandarasi Anayekarabati Uwanja wa Mafia - JK
By Maura Mwingira | Published 12/6/2007 | Habari Mpya | Unrated
Rais Jakaya Kikwete amewahakikishia wananchi wa wilaya ya Mafia kwamba, Serikali itamfuatilia na kumbana mkandarasi aliyepewa  kazi ya kukarabati na kupanua njia ya kurukia na kutua ndege katika uwanja wa ndege wa Mafia.
» Wanasiasa Tulumbane Vijiweni Lakini Tuhimize Maendeleo – JK
By Maura Mwingira | Published 12/5/2007 | Habari Mpya | Rating:
Raia Jakaya Kikwete amewasihi wanasiasa wenzake kuwahimizi wanachama wao kushiriki katika shughuli za maendeleo kwa faida ya Watanzania wote.


(Page 1 of 68)   « Back | 1 | 2 | 3 | 4 | 5 | Next »